>> Home/Nyumbani               
>> Todays English News
>> Sports/Michezo
>> Chat/Longa
>> Recipes/Mapishi
>> Gallery/Picha za Matukio
>> Listen to Music/Sikiliza Muziki
>> Watch Videos/Angalia Video
>> Comments/Maoni
>> Contact/Tuwasiliane
>> Terms and Conditions
>> About Us
>> Useful Links
 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Viongozi Wa Jumuia Nchini
Uingereza

ADVERTISE ON THIS SPACE

For More Info Call: 07706786069
Fax: 020 8311 0960
Email: info@tanzaniaone.net
 
KISWAHILI NEWS
   
  SHEREHE ZA MUHUNGANO ZINANUKIA! NA URAIA WA NCHI MBILI NAO? VIPI?
 

Sherehe za kumbu kumbu ya sikuu ya muhungani zinanukia kwa kila mtanzania aliye nje au ndani ya nchi,ni sikukuu ya kumbu kumbu ya kitendo cha kihistoria kilichotuhunganisha watanganyika na wazanzibar ikazaliwa Tanzania nasi tukaitwa watanzania jina au uraia ambao ukienda popote duniani na kujitambulisha hivyo basi utapata heshima ya hali ya juu! kuwa umetoka katika nchi ya waungwana wasio kubali kutawaliwa! pia kugawanywa... Habari zaidi

 
   
  MAHAKAMA YATUPA MAOMBI YA KINA LIYUMBA
  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imeyatupilia mbali maombi ya kutaka kesi inayomkabili mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi Benki Kuu ya Tanzania (BoT)... Habari zaidi  
   
  TEKNOLOJIA MPYA YASABABISHA WAFANYAKAZI TRA KUPOTEZA AJIRA
  WAFANYAKAZI kadhaa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wako kwenye wasiwasi wa kupoteza ajira zao baada ya mamlaka hiyo kuanza kutumia teknolojia ya mtandao ya Asy-Scan... Habari zaidi  
   
  Habari Zaidi...
  MREMA WA CHAMA CHA TLP AOMBA ULINZI WA POLISI
  MISS TZ EUROPE 2009 KUFANYIKA JUNI 27 LONDON
  SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUTOKA KWA PROF. LIPUMBA
  MAHAKAMA YAAMURU PROF MAHALU NA MWENZAKE WANA KESI YA KUJIBU
  SIMBA YATANGAZA KUTII WANACHOTAKA TFF KULINDA MSHIKAMANO
  MAALIM SEIF: KAMA MAFUTA YA MUUNGANO NA MADINI PIA YAWE YA MUUNGANO
  PAMBABO LA YANGA,SIMBA KIINGILIO SH5,000 HADI SH50,000
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa ligi kuu kati ya Simba na Yanga uliopangwa kufanyika Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa TFF, Frederick Mwakalebela alivitaja viingilio hivyo kuwa ni Sh,50,000...     habari zaidi
 
  KOMBE LA TAIFA NETIBOLI PWANI WAWIKA, TMK, KINONDONI HOI
WENYEJI wa michuano ya Kombe la Taifa kwa mchezo wa netiboli timu ya Pwani jana imeendelea kutoa kipigo mfululizo kwa wapinzani wake baada ya kuitandika Arusha jumla ya magoli 35 -16.
katika mashindano hayo yanayoendelea mkoani hapa...     habari zaidi
 
  SIMBA WANUSURIKA KUTEKWA
WACHEZAJI wa Simba nusura watekwe na majambazi Jumatano usiku kama si jitihada za polisi kufyatua risasi hewani na kuwakibiza maharamia hao. Simba iliondoka jijini Dar es Salaam Jumatano asubuhi wiki hii kwenda Bukoba kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Kagera Sugar utakopigwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Kaitaba...     habari zaidi
BONGODJS
VIEW OUR GALLERY - ANGALIA PICHA ZA MATUKIO
Sherehe Ya CCM - London
Mwana FA & AY at Club Afrique
Jahazi
Mashindano Ya Qur'an
 
Copyright @ 2007 TanzaniaOne All Rights Reserved